15 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo+ vya Kristo?+ Basi, je, nitavichukua viungo vya Kristo na kuvifanya kuwa viungo vya kahaba?+ Hilo lisitendeke kamwe!
4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+