Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 57:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Lakini waovu ni kama bahari inayorushwa-rushwa, wakati ambapo haiwezi kutulia, ambayo maji yake yanaendelea kurusha juu magugu-maji na matope.

  • Yeremia 51:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ee mwanamke unayekaa juu ya maji mengi,+ mwenye hazina nyingi,+ mwisho wako umekuja, kipimo+ chako cha kupata faida.+

  • Ufunuo 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye ananiambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba anaketi, yanamaanisha vikundi vya watu na umati na mataifa na lugha.+

  • Ufunuo 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa sababu hukumu zake ni za kweli na za uadilifu.+ Kwa maana ametekeleza hukumu juu ya yule kahaba mkubwa aliyeiharibu dunia kwa uasherati wake, naye amelipiza kisasi damu ya watumwa wake mkononi mwake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki