Marko 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi alipokuwa akipanda mashua, yule mtu aliyekuwa na roho waovu akaanza kumsihi akae pamoja naye.+ Luka 18:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Na mara moja akapata kuona tena,+ naye akaanza kumfuata, akimtukuza Mungu.+ Pia, watu wote, walipoona hilo, wakamsifu Mungu.
18 Basi alipokuwa akipanda mashua, yule mtu aliyekuwa na roho waovu akaanza kumsihi akae pamoja naye.+
43 Na mara moja akapata kuona tena,+ naye akaanza kumfuata, akimtukuza Mungu.+ Pia, watu wote, walipoona hilo, wakamsifu Mungu.