Mathayo 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama! mtawala+ fulani aliyekuwa amekaribia, alianza kumsujudia,+ akisema: “Kufikia sasa binti yangu lazima awe amekufa;+ lakini njoo uweke mkono wako juu yake naye atakuwa hai.”+ Marko 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sasa mmoja wa maofisa-wasimamizi wa sinagogi, anayeitwa Yairo, akaja na, alipomwona, akamwangukia miguuni+
18 Alipokuwa akiwaambia mambo hayo, tazama! mtawala+ fulani aliyekuwa amekaribia, alianza kumsujudia,+ akisema: “Kufikia sasa binti yangu lazima awe amekufa;+ lakini njoo uweke mkono wako juu yake naye atakuwa hai.”+
22 Sasa mmoja wa maofisa-wasimamizi wa sinagogi, anayeitwa Yairo, akaja na, alipomwona, akamwangukia miguuni+