Marko 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mara moja, pia, Yesu akatambua ndani yake mwenyewe kwamba nguvu+ zilikuwa zimemtoka, naye akageuka huku na huku katika ule umati na kuanza kusema: “Ni nani aliyeyagusa mavazi yangu ya nje?”+
30 Mara moja, pia, Yesu akatambua ndani yake mwenyewe kwamba nguvu+ zilikuwa zimemtoka, naye akageuka huku na huku katika ule umati na kuanza kusema: “Ni nani aliyeyagusa mavazi yangu ya nje?”+