Mathayo 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Yesu alipokuwa amemaliza kuwapa maagizo wanafunzi wake kumi na wawili, aliondoka akafundishe na kuhubiri katika majiji yao.+ Marko 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo wakaondoka na kuhubiri ili watu wapate kutubu;+
11 Basi Yesu alipokuwa amemaliza kuwapa maagizo wanafunzi wake kumi na wawili, aliondoka akafundishe na kuhubiri katika majiji yao.+