Mathayo 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo akaenda akizunguka+ katika Galilaya+ yote, akifundisha katika masinagogi+ yao na kuhubiri habari njema ya ufalme na kuponya kila namna ya ugonjwa+ na kila namna ya udhaifu katikati ya watu. Mathayo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Yesu alipokuwa amemaliza maneno hayo, akaondoka Galilaya na kuja kwenye mipaka ya Yudea ng’ambo ya Yordani.+ Luka 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo walipoanza kuondoka wakapita katika eneo hilo kutoka kijiji mpaka kijiji, wakitangaza habari njema na kuponya kila mahali.+
23 Ndipo akaenda akizunguka+ katika Galilaya+ yote, akifundisha katika masinagogi+ yao na kuhubiri habari njema ya ufalme na kuponya kila namna ya ugonjwa+ na kila namna ya udhaifu katikati ya watu.
19 Basi Yesu alipokuwa amemaliza maneno hayo, akaondoka Galilaya na kuja kwenye mipaka ya Yudea ng’ambo ya Yordani.+
6 Ndipo walipoanza kuondoka wakapita katika eneo hilo kutoka kijiji mpaka kijiji, wakitangaza habari njema na kuponya kila mahali.+