28 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba kuna baadhi ya wale wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe mpaka kwanza wamwone Mwana wa binadamu akija katika ufalme wake.”+
9Zaidi ya hayo, akaendelea kuwaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kuna baadhi ya wale wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe mpaka kwanza wauone ufalme wa Mungu ukiwa tayari umekuja katika nguvu.”+