Mathayo 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba kuna baadhi ya wale wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe mpaka kwanza wamwone Mwana wa binadamu akija katika ufalme wake.”+ Luka 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini ninawaambia ninyi kwa kweli, Kuna baadhi ya wale wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe mpaka kwanza wauone ufalme wa Mungu.”+ 1 Wakorintho 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana ufalme wa Mungu hauko katika maneno, bali katika nguvu.+
28 Kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba kuna baadhi ya wale wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe mpaka kwanza wamwone Mwana wa binadamu akija katika ufalme wake.”+
27 Lakini ninawaambia ninyi kwa kweli, Kuna baadhi ya wale wanaosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe mpaka kwanza wauone ufalme wa Mungu.”+