Mathayo 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Bwana, uwe na rehema juu ya mwanangu, kwa sababu ana kifafa na ni mgonjwa, kwa maana yeye huanguka ndani ya moto na ndani ya maji mara nyingi;+ Marko 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na mmoja kutoka katika ule umati akamjibu: “Mwalimu, nilileta mwanangu kwako kwa sababu ana roho bubu;+ Luka 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Alipokaribia lango la jiji, kumbe! tazama! kulikuwa na mfu+ akiwa anapelekwa nje, mwana mzaliwa-pekee+ wa mama yake. Mbali na hilo, alikuwa ni mjane. Pia umati mkubwa kutoka jijini ulikuwa pamoja naye.
15 “Bwana, uwe na rehema juu ya mwanangu, kwa sababu ana kifafa na ni mgonjwa, kwa maana yeye huanguka ndani ya moto na ndani ya maji mara nyingi;+
17 Na mmoja kutoka katika ule umati akamjibu: “Mwalimu, nilileta mwanangu kwako kwa sababu ana roho bubu;+
12 Alipokaribia lango la jiji, kumbe! tazama! kulikuwa na mfu+ akiwa anapelekwa nje, mwana mzaliwa-pekee+ wa mama yake. Mbali na hilo, alikuwa ni mjane. Pia umati mkubwa kutoka jijini ulikuwa pamoja naye.