Mathayo 17:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Walipokuwa wamekusanyika pamoja katika Galilaya, Yesu akawaambia: “Mwana wa binadamu atasalitiwa mikononi mwa watu,+ Marko 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana alikuwa akifundisha wanafunzi wake na kuwaambia: “Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa watu, nao watamuua, lakini, ijapokuwa atauawa,+ atafufuka siku tatu baadaye.”+ Luka 18:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa mfano, atatiwa mikononi mwa watu wa mataifa naye atadhihakiwa+ na kutendewa kwa dharau+ na kutemewa mate;+
22 Walipokuwa wamekusanyika pamoja katika Galilaya, Yesu akawaambia: “Mwana wa binadamu atasalitiwa mikononi mwa watu,+
31 Kwa maana alikuwa akifundisha wanafunzi wake na kuwaambia: “Mwana wa binadamu atatiwa mikononi mwa watu, nao watamuua, lakini, ijapokuwa atauawa,+ atafufuka siku tatu baadaye.”+
32 Kwa mfano, atatiwa mikononi mwa watu wa mataifa naye atadhihakiwa+ na kutendewa kwa dharau+ na kutemewa mate;+