Marko 9:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yohana akamwambia: “Mwalimu, tulimwona mtu fulani akitoa roho waovu kwa kutumia jina lako nasi tukajaribu kumzuia,+ kwa sababu hakuwa akifuatana nasi.”+
38 Yohana akamwambia: “Mwalimu, tulimwona mtu fulani akitoa roho waovu kwa kutumia jina lako nasi tukajaribu kumzuia,+ kwa sababu hakuwa akifuatana nasi.”+