13 Lakini watu fulani kati ya Wayahudi wenye kuzunguka-zunguka waliozoea kazi ya kufukuza roho waovu+ pia wakachukua daraka la kuliitia jina la Bwana Yesu+ juu ya wale wenye roho waovu, wakisema: “Mimi ninawaagiza+ ninyi kwa uzito kwa Yesu ambaye Paulo humhubiri.”