Matendo 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Akaendelea kufanya hivyo kwa siku nyingi. Mwishowe Paulo akachoshwa,+ akageuka na kumwambia huyo roho: “Ninakuagiza katika jina la Yesu Kristo umtoke.”+ Naye akatoka saa hiyohiyo.+
18 Akaendelea kufanya hivyo kwa siku nyingi. Mwishowe Paulo akachoshwa,+ akageuka na kumwambia huyo roho: “Ninakuagiza katika jina la Yesu Kristo umtoke.”+ Naye akatoka saa hiyohiyo.+