Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nanyi mkamwambie ndugu yangu hivi, ‘Wema uwe kwako+ na pia wema uwe kwa nyumba yako na wema uwe kwa vyote ulivyo navyo.

  • Mathayo 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mnapoingia ndani ya nyumba, wapeni salamu watu wa nyumba hiyo;

  • Luka 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini popote mtakapoingia katika nyumba, kaeni humo na mwondoke humo.+

  • Yohana 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo, ilipokuwa jioni-jioni siku hiyo, siku ya kwanza ya juma,+ na, ijapokuwa milango ilikuwa imefungwa mahali ambamo wanafunzi walikuwa kwa sababu ya kuwaogopa+ Wayahudi, Yesu alikuja+ na kusimama katikati yao na kuwaambia: “Na muwe na amani.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki