Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Katika jiji lolote lile au kijiji chochote kile mtakapoingia, tafuteni ni nani humo anayestahili, mkae humo mpaka mtakapoondoka.+

  • Marko 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Zaidi ya hayo, akawaambia: “Popote mtakapoingia katika nyumba,+ kaeni humo mpaka mtakapoondoka.+

  • Luka 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Popote pale mtakapoingia katika nyumba kwanza semeni, ‘Nyumba hii na iwe na amani.’+

  • Luka 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki