Mathayo 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Katika jiji lolote lile au kijiji chochote kile mtakapoingia, tafuteni ni nani humo anayestahili, mkae humo mpaka mtakapoondoka.+ Marko 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Zaidi ya hayo, akawaambia: “Popote mtakapoingia katika nyumba,+ kaeni humo mpaka mtakapoondoka.+ Luka 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Popote pale mtakapoingia katika nyumba kwanza semeni, ‘Nyumba hii na iwe na amani.’+ Luka 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+
11 “Katika jiji lolote lile au kijiji chochote kile mtakapoingia, tafuteni ni nani humo anayestahili, mkae humo mpaka mtakapoondoka.+
7 Kwa hiyo kaeni katika nyumba hiyo,+ mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba.+