Mwanzo 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.” Mwanzo 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Yehova akamwelekezea Sara fikira kama alivyokuwa amesema, na sasa Yehova akamtendea Sara kama alivyokuwa amesema.+
14 Je, jambo lolote ni kubwa mno isivyo kawaida kwa Yehova?+ Kwa wakati uliowekwa nitarudi kwako, mwaka ujao wakati huu, na Sara atapata mwana.”
21 Naye Yehova akamwelekezea Sara fikira kama alivyokuwa amesema, na sasa Yehova akamtendea Sara kama alivyokuwa amesema.+