1 Wakorintho 7:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa kweli, nataka ninyi msiwe na mahangaiko.+ Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia mambo ya Bwana, jinsi anavyoweza kupata kibali cha Bwana.
32 Kwa kweli, nataka ninyi msiwe na mahangaiko.+ Mwanamume ambaye hajaoa huhangaikia mambo ya Bwana, jinsi anavyoweza kupata kibali cha Bwana.