Mathayo 9:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini Mafarisayo wakaanza kusema: “Yeye huwafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+ Marko 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pia, waandishi walioteremka kutoka Yerusalemu walikuwa wakisema: “Ana Beelzebuli, naye huwafukuza roho waovu kwa njia ya mtawala wa roho waovu.”+
34 Lakini Mafarisayo wakaanza kusema: “Yeye huwafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+
22 Pia, waandishi walioteremka kutoka Yerusalemu walikuwa wakisema: “Ana Beelzebuli, naye huwafukuza roho waovu kwa njia ya mtawala wa roho waovu.”+