Mathayo 9:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini Mafarisayo wakaanza kusema: “Yeye huwafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+ Mathayo 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Inatosha kwa mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kama bwana wake.+ Ikiwa watu wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli,+ je, hawatawaita hivyo wale watu wa nyumbani mwake hata zaidi? Luka 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini watu fulani kati yao wakasema: “Yeye huwafukuza roho waovu kupitia Beelzebuli mtawala wa roho waovu.”+ Yohana 8:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Je, sisi hatusemi kweli kwamba, Wewe ni Msamaria+ na una roho mwovu?”+
34 Lakini Mafarisayo wakaanza kusema: “Yeye huwafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+
25 Inatosha kwa mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kama bwana wake.+ Ikiwa watu wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli,+ je, hawatawaita hivyo wale watu wa nyumbani mwake hata zaidi?
15 Lakini watu fulani kati yao wakasema: “Yeye huwafukuza roho waovu kupitia Beelzebuli mtawala wa roho waovu.”+
48 Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Je, sisi hatusemi kweli kwamba, Wewe ni Msamaria+ na una roho mwovu?”+