Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini Mafarisayo wakaanza kusema: “Yeye huwafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+

  • Mathayo 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Inatosha kwa mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kama bwana wake.+ Ikiwa watu wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli,+ je, hawatawaita hivyo wale watu wa nyumbani mwake hata zaidi?

  • Luka 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini watu fulani kati yao wakasema: “Yeye huwafukuza roho waovu kupitia Beelzebuli mtawala wa roho waovu.”+

  • Yohana 8:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Je, sisi hatusemi kweli kwamba, Wewe ni Msamaria+ na una roho mwovu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki