Mathayo 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waliposikia hilo, Mafarisayo wakasema: “Mtu huyu hatoi roho waovu ila kwa nguvu za Beelzebuli, mtawala wa roho waovu.”+ Yohana 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Umati wakajibu: “Wewe una roho mwovu.+ Ni nani anayetaka kukuua?” Yohana 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wengi wao walikuwa wakisema: “Ana roho mwovu+ naye ana wazimu. Kwa nini mnamsikiliza?” Yohana 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwa ulimwengu unawachukia ninyi, mnajua kwamba umenichukia mimi kabla ya kuwachukia ninyi.+
24 Waliposikia hilo, Mafarisayo wakasema: “Mtu huyu hatoi roho waovu ila kwa nguvu za Beelzebuli, mtawala wa roho waovu.”+