Mathayo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Luka 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini raia zake wakamchukia+ na kutuma baraza la mabalozi kumfuata, na kusema, ‘Hatumtaki mtu huyu awe mfalme juu yetu.’+ Yohana 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia,+ kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu, kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.+ 1 Yohana 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Msistaajabu, akina ndugu, kwamba ulimwengu unawachukia ninyi.+
22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+
14 Lakini raia zake wakamchukia+ na kutuma baraza la mabalozi kumfuata, na kusema, ‘Hatumtaki mtu huyu awe mfalme juu yetu.’+
14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia,+ kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu, kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.+