Mathayo 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kulingana na hilo, Yohana alikuja akiwa hali chakula wala kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Ana roho mwovu’; Marko 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Alisema hivyo kwa sababu walikuwa wakisema: “Ana roho mchafu.”+ Luka 7:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kulingana na hilo, Yohana Mbatizaji amekuja akiwa hali mkate wala kunywa divai, lakini mnasema, ‘Ana roho mwovu.’+
18 Kulingana na hilo, Yohana alikuja akiwa hali chakula wala kunywa,+ na bado watu wanasema, ‘Ana roho mwovu’;
33 Kulingana na hilo, Yohana Mbatizaji amekuja akiwa hali mkate wala kunywa divai, lakini mnasema, ‘Ana roho mwovu.’+