-
Mathayo 10:25Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
25 Yatosha kwa mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kama bwana wake. Ikiwa watu wamemwita mwenye nyumba Beelzebubi, je, si zaidi sana watawaita hivyo wale watu wa nyumbani mwake?
-