25 Inatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake.+ Ikiwa watu wamemwita bwana wa nyumba Beelzebuli,*+ namna gani watu wa nyumbani mwake?
25 Inatosha kwa mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kama bwana wake.+ Ikiwa watu wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli,+ je, hawatawaita hivyo wale watu wa nyumbani mwake hata zaidi?