Mathayo 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mafarisayo waliposikia jambo hilo wakasema: “Mtu huyu anawafukuza roho waovu kwa nguvu za Beelzebuli,* mtawala wa roho waovu.”+ Marko 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pia, waandishi walioshuka kutoka Yerusalemu walikuwa wakisema: “Ana Beelzebuli,* naye anawafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+ Luka 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini baadhi yao wakasema: “Anawafukuza roho waovu kwa nguvu za Beelzebuli,* mtawala wa roho waovu.”+ Yohana 8:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Wayahudi wakamjibu: “Je, hatusemi kweli tunaposema, ‘Wewe ni Msamaria+ na una roho mwovu’?”+
24 Mafarisayo waliposikia jambo hilo wakasema: “Mtu huyu anawafukuza roho waovu kwa nguvu za Beelzebuli,* mtawala wa roho waovu.”+
22 Pia, waandishi walioshuka kutoka Yerusalemu walikuwa wakisema: “Ana Beelzebuli,* naye anawafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+
15 Lakini baadhi yao wakasema: “Anawafukuza roho waovu kwa nguvu za Beelzebuli,* mtawala wa roho waovu.”+