Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 9:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Lakini Mafarisayo walikuwa wakisema: “Anawafukuza roho waovu kwa nguvu za mtawala wa roho waovu.”+

  • Mathayo 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Inatosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake.+ Ikiwa watu wamemwita bwana wa nyumba Beelzebuli,*+ namna gani watu wa nyumbani mwake?

  • Mathayo 12:24-29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mafarisayo waliposikia jambo hilo wakasema: “Mtu huyu anawafukuza roho waovu kwa nguvu za Beelzebuli,* mtawala wa roho waovu.”+ 25 Akijua fikira zao, akawaambia: “Kila ufalme uliogawanyika dhidi yake wenyewe utaangamia, na kila jiji au nyumba iliyogawanyika dhidi yake yenyewe haitasimama. 26 Vivyo hivyo, ikiwa Shetani anamfukuza Shetani, amegawanyika dhidi yake mwenyewe; basi, ufalme wake utawezaje kusimama? 27 Zaidi ya hayo, ikiwa ninawafukuza roho waovu kupitia Beelzebuli, wana wenu wanawafukuza kupitia nani? Hiyo ndiyo sababu watakuwa waamuzi wenu. 28 Lakini ikiwa ninawafukuza roho waovu kupitia roho ya Mungu, kwa kweli Ufalme wa Mungu umewafikia ninyi ghafla.+ 29 Au yeyote anawezaje kuivamia nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuchukua mali zake isipokuwa kwanza amfunge mtu huyo? Hapo ndipo anaweza kuipora nyumba yake.

  • Luka 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini baadhi yao wakasema: “Anawafukuza roho waovu kwa nguvu za Beelzebuli,* mtawala wa roho waovu.”+

  • Yohana 8:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Wayahudi wakamjibu: “Je, hatusemi kweli tunaposema, ‘Wewe ni Msamaria+ na una roho mwovu’?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki