Mathayo 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waliposikia hilo, Mafarisayo wakasema: “Mtu huyu hatoi roho waovu ila kwa nguvu za Beelzebuli, mtawala wa roho waovu.”+ Marko 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pia, waandishi walioteremka kutoka Yerusalemu walikuwa wakisema: “Ana Beelzebuli, naye huwafukuza roho waovu kwa njia ya mtawala wa roho waovu.”+ Luka 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini watu fulani kati yao wakasema: “Yeye huwafukuza roho waovu kupitia Beelzebuli mtawala wa roho waovu.”+ Yohana 8:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Je, sisi hatusemi kweli kwamba, Wewe ni Msamaria+ na una roho mwovu?”+
24 Waliposikia hilo, Mafarisayo wakasema: “Mtu huyu hatoi roho waovu ila kwa nguvu za Beelzebuli, mtawala wa roho waovu.”+
22 Pia, waandishi walioteremka kutoka Yerusalemu walikuwa wakisema: “Ana Beelzebuli, naye huwafukuza roho waovu kwa njia ya mtawala wa roho waovu.”+
15 Lakini watu fulani kati yao wakasema: “Yeye huwafukuza roho waovu kupitia Beelzebuli mtawala wa roho waovu.”+
48 Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Je, sisi hatusemi kweli kwamba, Wewe ni Msamaria+ na una roho mwovu?”+