Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Waliposikia hilo, Mafarisayo wakasema: “Mtu huyu hatoi roho waovu ila kwa nguvu za Beelzebuli, mtawala wa roho waovu.”+

  • Marko 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Pia, waandishi walioteremka kutoka Yerusalemu walikuwa wakisema: “Ana Beelzebuli, naye huwafukuza roho waovu kwa njia ya mtawala wa roho waovu.”+

  • Luka 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini watu fulani kati yao wakasema: “Yeye huwafukuza roho waovu kupitia Beelzebuli mtawala wa roho waovu.”+

  • Yohana 8:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Wayahudi wakajibu, wakamwambia: “Je, sisi hatusemi kweli kwamba, Wewe ni Msamaria+ na una roho mwovu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki