Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Ndipo anaondoka na kwenda kuchukua roho tofauti saba walio waovu zaidi kuliko yeye mwenyewe,+ na, baada ya kuingia ndani, wao hukaa humo; na hali ya mwisho ya mtu huyo huwa mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza.+ Hivyo ndivyo itakavyokuwa pia kwa kizazi hiki kiovu.”+

  • Yohana 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Baada ya mambo haya Yesu alimkuta hekaluni akamwambia: “Ona, una afya nzuri. Usifanye dhambi tena kamwe, ili usipatwe na jambo fulani baya zaidi.”

  • 2 Petro 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hakika ikiwa, baada ya kuponyoka kutoka katika mambo ya unajisi ya ulimwengu+ kwa ujuzi sahihi juu ya Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa,+ hali ya mwisho imekuwa mbaya zaidi kwao kuliko ile ya kwanza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki