Mathayo 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yesu akawaambia: “Endeleeni kufungua macho yenu na kujihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”+ Marko 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akaanza kuwaagiza waziwazi na kusema: “Endeleeni kufungua macho yenu, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”+
6 Yesu akawaambia: “Endeleeni kufungua macho yenu na kujihadhari na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”+
15 Naye akaanza kuwaagiza waziwazi na kusema: “Endeleeni kufungua macho yenu, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”+