Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye Yesu akajibu, akawaambia: “Jihadharini mtu yeyote asiwapotoshe;+

  • Marko 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Naye akaanza kuwaagiza waziwazi na kusema: “Endeleeni kufungua macho yenu, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”+

  • Luka 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakati huohuo, umati walipokuwa wamekusanyika pamoja kwa maelfu mengi sana hivi kwamba walikuwa wakikanyagana, akaanza kwa kuwaambia kwanza wanafunzi wake: “Jihadharini na chachu+ ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.+

  • Waroma 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko+ na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho+ ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+

  • Wakolosai 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mjihadhari: labda kuna mtu ambaye atawachukua+ ninyi kama windo lake kupitia falsafa+ na udanganyifu mtupu+ kulingana na pokeo la wanadamu, kulingana na mambo ya msingi+ ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki