14 Na Yehova akaendelea kuniambia: “Manabii wanatoa unabii wa uwongo katika jina langu.+ Mimi sikuwatuma, wala sikuwaamuru wala kusema nao.+ Maono ya uwongo na uaguzi na kitu kisicho na thamani+ na udanganyifu wa moyo wao ndiyo mambo wanayowaambia ninyi kwa njia ya unabii.+
8 Akasema: “Jihadharini msipotoshwe;+ kwa maana wengi watakuja kwa msingi wa jina langu, wakisema, ‘Mimi ndiye,’ na, ‘Wakati unaofaa umekaribia.’+ Msiwafuate.
8 Mjihadhari: labda kuna mtu ambaye atawachukua+ ninyi kama windo lake kupitia falsafa+ na udanganyifu mtupu+ kulingana na pokeo la wanadamu, kulingana na mambo ya msingi+ ya ulimwengu na si kulingana na Kristo;
3 Msiache mtu yeyote awashawishi ninyi kwa namna yoyote, kwa sababu hiyo haitakuja isipokuwa uasi-imani+ uje kwanza na yule mtu wa uasi-sheria+ afunuliwe,+ mwana wa maangamizi.+