Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtu yeyote asiwadanganye ninyi kwa maneno matupu,+ kwa maana kwa sababu ya mambo yaliyotangulia kusemwa ghadhabu ya Mungu inakuja juu ya wana wa kutotii.+

  • 2 Wathesalonike 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Msiache mtu yeyote awashawishi ninyi kwa namna yoyote, kwa sababu hiyo haitakuja isipokuwa uasi-imani+ uje kwanza na yule mtu wa uasi-sheria+ afunuliwe,+ mwana wa maangamizi.+

  • 2 Timotheo 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini watu waovu na wajanja wataendelea kutoka ubaya mpaka ubaya zaidi, wakipotosha na kupotoshwa.+

  • 1 Yohana 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wapendwa, msiamini kila neno lililoongozwa na roho,+ lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatokana na Mungu,+ kwa sababu manabii wengi wa uwongo wameingia ulimwenguni.+

  • Ufunuo 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo yule joka+ mkubwa akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ yeye anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki