19 Hata hivyo, watakapowapeleka ninyi, msihangaike juu ya jambo mtakalosema au jinsi mtakavyolisema; kwa maana mtapewa jambo la kusema katika saa hiyo;+
11 Lakini wanapowapeleka, msihangaike kimbele juu ya jambo mtakalosema;+ bali jambo lolote mtakalopewa saa hiyo, semeni hilo, kwa maana si ninyi mnaosema, bali ni roho takatifu.+