Luka 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Wakati inapokuwa tayari imechipuka, kwa kuangalia mnajua wenyewe kwamba sasa kiangazi kiko karibu.+ 1 Wakorintho 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ninasema ili kuwatia ninyi aibu.+ Je, ni kweli kwamba hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima+ kati yenu atakayeweza kuhukumu kati ya ndugu zake,
30 Wakati inapokuwa tayari imechipuka, kwa kuangalia mnajua wenyewe kwamba sasa kiangazi kiko karibu.+
5 Ninasema ili kuwatia ninyi aibu.+ Je, ni kweli kwamba hakuna hata mtu mmoja mwenye hekima+ kati yenu atakayeweza kuhukumu kati ya ndugu zake,