Mathayo 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Katika njia hiyo ninyi pia, kwa kweli, mnaonekana kwa nje kuwa waadilifu kwa watu,+ lakini ndani mmejaa unafiki na uasi-sheria. Luka 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huohuo, umati walipokuwa wamekusanyika pamoja kwa maelfu mengi sana hivi kwamba walikuwa wakikanyagana, akaanza kwa kuwaambia kwanza wanafunzi wake: “Jihadharini na chachu+ ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.+
28 Katika njia hiyo ninyi pia, kwa kweli, mnaonekana kwa nje kuwa waadilifu kwa watu,+ lakini ndani mmejaa unafiki na uasi-sheria.
12 Wakati huohuo, umati walipokuwa wamekusanyika pamoja kwa maelfu mengi sana hivi kwamba walikuwa wakikanyagana, akaanza kwa kuwaambia kwanza wanafunzi wake: “Jihadharini na chachu+ ya Mafarisayo, ambayo ni unafiki.+