Mathayo 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+ Mathayo 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Wanafunzi waliposikia hilo, wakashangaa sana, wakisema: “Ni nani kwa kweli anayeweza kuokolewa?”+
14 lakini lango ni jembamba na barabara inayoongoza kwenye uzima ina nafasi ndogo, na wachache ndio wanaoipata.+