Luka 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Basi mmoja wa Mafarisayo akawa akimwomba ale pamoja naye. Basi akaingia katika nyumba+ ya Farisayo huyo na kuketi mezani. Luka 11:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Baada ya kusema hayo, Farisayo mmoja akamwomba ale+ pamoja naye. Kwa hiyo akaingia na kuketi mezani.
36 Basi mmoja wa Mafarisayo akawa akimwomba ale pamoja naye. Basi akaingia katika nyumba+ ya Farisayo huyo na kuketi mezani.
37 Baada ya kusema hayo, Farisayo mmoja akamwomba ale+ pamoja naye. Kwa hiyo akaingia na kuketi mezani.