Luka 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Basi mmoja wa Mafarisayo akawa akimwomba ale pamoja naye. Basi akaingia katika nyumba+ ya Farisayo huyo na kuketi mezani. Luka 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na pindi fulani alipoingia ndani ya nyumba ya mtu fulani, mmoja kati ya watawala wa Mafarisayo katika siku ya sabato ili kula mlo,+ walikuwa wakimchunguza sana.+
36 Basi mmoja wa Mafarisayo akawa akimwomba ale pamoja naye. Basi akaingia katika nyumba+ ya Farisayo huyo na kuketi mezani.
14 Na pindi fulani alipoingia ndani ya nyumba ya mtu fulani, mmoja kati ya watawala wa Mafarisayo katika siku ya sabato ili kula mlo,+ walikuwa wakimchunguza sana.+