10 Kwa maana nilisikia habari mbaya za wengi.+ Kulikuwa na hofu pande zote. “Tangazeni, ili tumtangaze.”+ Kila mwanadamu anayeweza kufa anayeniambia “Amani!”—wanaangalia kuchechemea kwangu:+ “Labda atapumbazika,+ ili tumshinde na tujilipizie kisasi juu yake.”