6 Humo ilikuwa imeandikwa hivi: “Imesemwa katika mataifa, na Geshemu+ anasema, kwamba wewe pamoja na Wayahudi mnapanga kuasi.+ Ndiyo sababu unajenga ukuta; nawe unataka kuwa mfalme kwao,+ kulingana na maneno hayo.
20 Na, baada ya kumtazama sana, wakatuma watu waliokodiwa kwa siri wasingizie kwamba walikuwa waadilifu, ili wapate kumnasa+ katika maneno, ili wamkabidhi kwa serikali na kwa mamlaka ya gavana.+