Ayubu 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Watu wote wa kikundi cha rafiki zangu wananichukia,+Na wale ambao nimewapenda wamenigeuka.+ Zaburi 38:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+ Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+
16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+
9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+