Mathayo 19:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Ndipo Petro akamjibu na kumwambia: “Tazama! Tumeacha vitu vyote na kukufuata wewe; kwa kweli kutakuwa na nini kwa ajili yetu?”+ Luka 9:62 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 62 Yesu akamwambia: “Hakuna mtu ambaye ameweka mkono wake kwenye jembe la ng’ombe+ na kutazama mambo yaliyo nyuma+ anayefaa kwa ajili ya ufalme wa Mungu.” Wafilipi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini vitu vilivyokuwa faida kwangu, hivyo nimeviona kuwa hasara kwa sababu ya Kristo.+
27 Ndipo Petro akamjibu na kumwambia: “Tazama! Tumeacha vitu vyote na kukufuata wewe; kwa kweli kutakuwa na nini kwa ajili yetu?”+
62 Yesu akamwambia: “Hakuna mtu ambaye ameweka mkono wake kwenye jembe la ng’ombe+ na kutazama mambo yaliyo nyuma+ anayefaa kwa ajili ya ufalme wa Mungu.”