13 Nendeni, basi, mkajifunze maana ya jambo hili, ‘Ninataka rehema, wala si dhabihu.’+ Kwa maana nilikuja kuwaita, si watu waadilifu, bali watenda-dhambi.”
17 Aliposikia hilo Yesu akawaambia: “Wale walio na nguvu hawahitaji tabibu, bali wale walio wagonjwa wanamhitaji. Nilikuja kuwaita, si watu waadilifu, bali watenda-dhambi.”+