Mathayo 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Yohana 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na kama vile Musa alivyoinua nyoka+ nyikani, ndivyo Mwana wa binadamu atakavyoinuliwa,+ Yohana 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na bado mimi, nikiinuliwa+ kutoka duniani, nitavuta watu wa namna zote kwangu.”+
19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+