Mathayo 27:62 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 62 Siku iliyofuata, baada ya yale Matayarisho,+ wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikusanyika pamoja mbele ya Pilato, Yohana 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi Wayahudi, kwa kuwa yalikuwa ni Matayarisho,+ ili miili hiyo isipate kukaa+ juu ya miti ya mateso siku ya Sabato, (kwa maana siku ya Sabato hiyo ilikuwa kuu,)+ wakamwomba Pilato aagize miguu yao ivunjwe na miili iondolewe.
62 Siku iliyofuata, baada ya yale Matayarisho,+ wakuu wa makuhani na Mafarisayo walikusanyika pamoja mbele ya Pilato,
31 Basi Wayahudi, kwa kuwa yalikuwa ni Matayarisho,+ ili miili hiyo isipate kukaa+ juu ya miti ya mateso siku ya Sabato, (kwa maana siku ya Sabato hiyo ilikuwa kuu,)+ wakamwomba Pilato aagize miguu yao ivunjwe na miili iondolewe.