-
Yohana 19:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
31 Basi Wayahudi, kwa kuwa yalikuwa ni Matayarisho, ili miili hiyo isipate kukaa juu ya miti ya mateso siku ya Sabato, (kwa maana siku ya Sabato hiyo ilikuwa kubwa,) wakamwomba Pilato aagize miguu yao ivunjwe na miili iondolewe.
-