31 Kwa kuwa ilikuwa siku ya Matayarisho,+ ili miili hiyo isibaki kwenye miti ya mateso+ siku ya Sabato, (kwa maana siku hiyo ya Sabato ilikuwa kuu),+ Wayahudi walimwomba Pilato aagize miguu yao ivunjwe na miili iondolewe.
31 Basi Wayahudi, kwa kuwa yalikuwa ni Matayarisho,+ ili miili hiyo isipate kukaa+ juu ya miti ya mateso siku ya Sabato, (kwa maana siku ya Sabato hiyo ilikuwa kuu,)+ wakamwomba Pilato aagize miguu yao ivunjwe na miili iondolewe.