Mathayo 27:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nao walipofika mahali panapoitwa Golgotha,+ ndiyo kusema, Mahali pa Fuvu la Kichwa, Marko 15:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo wakampeleka mahali panapoitwa Golgotha, neno ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Mahali pa Fuvu la Kichwa.+
22 Kwa hiyo wakampeleka mahali panapoitwa Golgotha, neno ambalo linapotafsiriwa humaanisha, Mahali pa Fuvu la Kichwa.+