Luka 23:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nao walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ huko wakamtundika mtini yeye na wale watenda-maovu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+ Yohana 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye, akajibebea mti wa mateso,+ akaenda+ pale panapoitwa Mahali pa Fuvu la Kichwa, panapoitwa Golgotha katika Kiebrania;+
33 Nao walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ huko wakamtundika mtini yeye na wale watenda-maovu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+
17 Naye, akajibebea mti wa mateso,+ akaenda+ pale panapoitwa Mahali pa Fuvu la Kichwa, panapoitwa Golgotha katika Kiebrania;+